Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Jebet (Guest) on September 24, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 31, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nyota (Guest) on July 7, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 3, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on June 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Maida (Guest) on May 5, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on April 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on April 30, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Jamila (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mahiga (Guest) on April 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on April 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on February 11, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on February 10, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on January 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 4, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Moses Mwita (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Anyango (Guest) on December 30, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Faith Kariuki (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 11, 2018

Asante Ackyshine

Khadija (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chiku (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jackson Makori (Guest) on October 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Carol Nyakio (Guest) on October 2, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on September 23, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shani (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Kidata (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fatuma (Guest) on August 8, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on August 6, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 6, 2018

😊🀣πŸ”₯

Amina (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on July 13, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on March 6, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on January 30, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on January 17, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Juma (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on December 9, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on December 7, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mariam Hassan (Guest) on December 4, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

John Lissu (Guest) on December 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Grace Njuguna (Guest) on November 8, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 30, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on September 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on July 10, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Azima (Guest) on June 15, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on May 24, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Related Posts

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More