Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito
Date: August 18, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
ππππ
MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!π
πππππππππππππππππ
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,...
Read More
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;
3. Huwezi kupumua k...
Read More
Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye...
Read More
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae...
Read More
Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yanguβ¦
Nikagonga mlango Jir...
Read More
Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa...
Read More
Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali
na yeye mwite MAF...
Read More
WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO
MLEVI 1Β hivi rafiki ...
Read More
MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"
Read More
πΒ Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu...
Read More
Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: ...
Read More
Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha...
Read More
Joseph Njoroge (Guest) on March 30, 2020
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Abubakari (Guest) on March 25, 2020
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Kheri (Guest) on March 9, 2020
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Francis Mrope (Guest) on February 23, 2020
Asante Ackyshine
Daudi (Guest) on February 11, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2020
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Maneno (Guest) on January 17, 2020
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Margaret Anyango (Guest) on January 9, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Anna Mahiga (Guest) on December 30, 2019
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
George Wanjala (Guest) on December 26, 2019
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2019
Mna talent ya jokes! ππ
Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Joyce Nkya (Guest) on August 8, 2019
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Monica Nyalandu (Guest) on July 24, 2019
Hii imenifurahisha sana! π€£π
John Lissu (Guest) on July 12, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on June 19, 2019
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on June 16, 2019
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Stephen Kangethe (Guest) on June 9, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2019
π€£ππ
George Ndungu (Guest) on April 16, 2019
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Edward Chepkoech (Guest) on April 13, 2019
π Kichekesho kamili!
Anthony Kariuki (Guest) on April 12, 2019
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 4, 2019
π πππ
Mwanaisha (Guest) on March 18, 2019
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Monica Lissu (Guest) on March 2, 2019
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Frank Macha (Guest) on February 1, 2019
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Joyce Mussa (Guest) on January 25, 2019
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Anna Malela (Guest) on January 18, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Fredrick Mutiso (Guest) on January 16, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Victor Kamau (Guest) on January 13, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Peter Mbise (Guest) on December 16, 2018
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
David Kawawa (Guest) on November 25, 2018
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Peter Otieno (Guest) on November 4, 2018
Nimeipenda hii joke! ππ
Peter Tibaijuka (Guest) on November 1, 2018
ππ€£π₯
Janet Mwikali (Guest) on September 17, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Mustafa (Guest) on September 15, 2018
π Naihifadhi hii!
Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2018
π πππ
Andrew Mchome (Guest) on September 2, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Simon Kiprono (Guest) on August 21, 2018
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2018
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Chris Okello (Guest) on August 8, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Mwajuma (Guest) on July 23, 2018
π Bado nacheka!
Victor Malima (Guest) on July 16, 2018
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2018
π€£π€£ππ
Nora Lowassa (Guest) on June 17, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Zawadi (Guest) on May 19, 2018
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Agnes Lowassa (Guest) on May 13, 2018
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Abdillah (Guest) on May 3, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Mary Mrope (Guest) on March 30, 2018
π Hii imenigonga kweli!
George Ndungu (Guest) on March 23, 2018
π Dhahabu ya vichekesho!
Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2018
Hii imenichekesha sana! ππ
Irene Akoth (Guest) on February 22, 2018
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Raphael Okoth (Guest) on November 21, 2017
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Stephen Amollo (Guest) on November 20, 2017
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Rose Amukowa (Guest) on October 29, 2017
ππ
Mhina (Guest) on September 29, 2017
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2017
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Edwin Ndambuki (Guest) on September 6, 2017
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Anna Mchome (Guest) on August 14, 2017
Nimefurahia hii sana! ππ