Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Mbise (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on June 8, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on May 30, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Maimuna (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Charles Mchome (Guest) on May 1, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edward Chepkoech (Guest) on April 15, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Asha (Guest) on March 28, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 16, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on February 29, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Omondi (Guest) on January 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on January 2, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Muthui (Guest) on December 26, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Henry Mollel (Guest) on December 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ibrahim (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 15, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on September 16, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Karani (Guest) on September 6, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Neema (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Hellen Nduta (Guest) on August 29, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rehema (Guest) on July 10, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mtaki (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Victor Kimario (Guest) on May 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on April 22, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on April 2, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on March 10, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Wanjiru (Guest) on March 3, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 12, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on December 19, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Lowassa (Guest) on December 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on November 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on November 21, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 19, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maneno (Guest) on October 31, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Wambura (Guest) on October 24, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on October 15, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on October 14, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on October 8, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 24, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Masika (Guest) on August 9, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on August 3, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on May 26, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Yusuf (Guest) on May 24, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Wambura (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Amir (Guest) on May 9, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Baridi (Guest) on April 24, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

George Mallya (Guest) on December 12, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sumaya (Guest) on December 8, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Stephen Kangethe (Guest) on November 27, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on November 24, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More