Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mazrui (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on March 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on February 24, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on February 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on January 12, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on January 9, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 19, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Malecela (Guest) on October 29, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on October 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

James Malima (Guest) on October 4, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 28, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on September 17, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on August 31, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 20, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nuru (Guest) on August 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 17, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khadija (Guest) on March 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Elizabeth Malima (Guest) on February 2, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Carol Nyakio (Guest) on January 22, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 7, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Abdillah (Guest) on December 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ndoto (Guest) on October 23, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on October 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 10, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on September 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on August 27, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Margaret Mahiga (Guest) on August 16, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Emily Chepngeno (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on July 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on June 13, 2018

Asante Ackyshine

Catherine Naliaka (Guest) on June 6, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Anna Kibwana (Guest) on March 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Zulekha (Guest) on February 15, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on February 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 27, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Juma (Guest) on January 4, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on December 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on December 7, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 9, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on October 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More