Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…

Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au…?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Wambura (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Josephine Nduta (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Faith Kariuki (Guest) on March 31, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ann Wambui (Guest) on March 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on March 21, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nancy Akumu (Guest) on March 9, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Khadija (Guest) on March 5, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Victor Kimario (Guest) on February 5, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on January 21, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on January 9, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Azima (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Majid (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on October 27, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on October 18, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Baraka (Guest) on October 8, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Bernard Oduor (Guest) on September 22, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyota (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 1, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rahim (Guest) on June 14, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 9, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on June 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on May 23, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Daniel Obura (Guest) on April 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on March 26, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on March 24, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on March 13, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hamida (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on February 26, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on February 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on January 29, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Diana Mumbua (Guest) on January 11, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on December 16, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Nyerere (Guest) on November 17, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 17, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Victor Mwalimu (Guest) on October 16, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on October 5, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mwachumu (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Hellen Nduta (Guest) on August 5, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on July 30, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 23, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Kheri (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on June 27, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 15, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jafari (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on April 20, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on April 6, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Related Posts

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More