Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on October 9, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on September 30, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on September 29, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Omar (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 15, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 7, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 20, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Baridi (Guest) on July 15, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kahina (Guest) on June 16, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on June 8, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 30, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on May 28, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on May 15, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Fadhili (Guest) on April 18, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ruth Wanjiku (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Musyoka (Guest) on February 13, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on February 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on February 1, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 29, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Agnes Njeri (Guest) on December 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 18, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 13, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Salum (Guest) on November 30, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Francis Mtangi (Guest) on November 30, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on November 17, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edward Chepkoech (Guest) on October 18, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on October 8, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hellen Nduta (Guest) on August 22, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on August 2, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on July 14, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 31, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on April 13, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 5, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nahida (Guest) on February 21, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on February 1, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on January 10, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 7, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on November 20, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Kimario (Guest) on November 14, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on November 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Jebet (Guest) on October 24, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on October 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on September 24, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on September 2, 2017

🀣πŸ”₯😊

Mwanaisha (Guest) on August 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 2, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on July 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Malisa (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More