Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fredrick Mutiso (Guest) on October 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hassan (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Issack (Guest) on July 28, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Njeru (Guest) on July 26, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on July 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 16, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 13, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 6, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on April 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 11, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on April 8, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on November 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 6, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on October 24, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Frank Macha (Guest) on August 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on July 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on March 31, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Biashara (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Lissu (Guest) on March 22, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Chris Okello (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on March 3, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 10, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on November 29, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on October 20, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on October 5, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kevin Maina (Guest) on September 14, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Josephine (Guest) on August 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on August 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on July 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumaye (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

James Mduma (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More