Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Kendi (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on November 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 18, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 16, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kikwete (Guest) on August 6, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Makena (Guest) on July 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mushi (Guest) on June 18, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on May 15, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 3, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahim (Guest) on April 18, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Otieno (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on March 26, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on March 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 6, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine (Guest) on February 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Brian Karanja (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Daniel Obura (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Khadija (Guest) on January 21, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 22, 2018

🀣πŸ”₯😊

Chiku (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Kenneth Murithi (Guest) on November 14, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ann Wambui (Guest) on October 28, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rehema (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Wafula (Guest) on October 15, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on October 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on October 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on September 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on September 25, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Brian Karanja (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on August 2, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 19, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Leila (Guest) on May 21, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nassar (Guest) on May 12, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on May 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 20, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 1, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 27, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 23, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kitine (Guest) on March 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on February 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on February 21, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on February 16, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on October 17, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusra (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mtaki (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More