Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on February 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rehema (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Furaha (Guest) on January 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Masika (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kassim (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Kamande (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on August 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kimani (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maida (Guest) on June 28, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hekima (Guest) on June 28, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Mollel (Guest) on May 13, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 28, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Mwikali (Guest) on February 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on December 23, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jabir (Guest) on November 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ibrahim (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jamal (Guest) on July 14, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Masika (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanakhamis (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 6, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on April 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rabia (Guest) on March 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwachumu (Guest) on March 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

George Mallya (Guest) on January 7, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zakaria (Guest) on December 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on December 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 3, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More