Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on July 14, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on July 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Chacha (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 11, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Komba (Guest) on May 9, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Fadhili (Guest) on February 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nora Kidata (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on December 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 24, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 21, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on June 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on May 29, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 25, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 19, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Chacha (Guest) on January 17, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 27, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sultan (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on September 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samuel Were (Guest) on May 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More