Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wake wa makopo akaona chupa ambayo ndani kuna ki2, alipoifungua likatoka jitu la ajabu. Huku akitetemeka lile jitu likamwambia kijana asante sana kwa kuniokoa omba vi2 viwili sasa hivi. Kijana kwa hofu akaomba pesa za kumiliki magari na majumba ya kifahari. Ghafla fuko la hela na pete ya bahati vikadondoka. Akaambiwa ombi la pili,akasema nibadilishe niwe kivutio ili nipendwe sana nakina dada Hapohapo akageuzwa akawa chipsi yai.!!πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Masanja (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 19, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on April 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 25, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 2, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on February 4, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 13, 2019

Asante Ackyshine

John Lissu (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on December 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on November 29, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Kiwanga (Guest) on November 9, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on September 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ahmed (Guest) on May 22, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Mwalimu (Guest) on May 10, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 19, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 14, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on December 22, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Alice Mwikali (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on November 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 10, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Masika (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Jackson Makori (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Maida (Guest) on September 23, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Kawawa (Guest) on August 20, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on August 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 5, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on June 29, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 21, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Wairimu (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Wande (Guest) on June 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on May 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 9, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 22, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Malecela (Guest) on April 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sultan (Guest) on March 31, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Yahya (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on February 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on January 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Neema (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Sumari (Guest) on December 10, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More