Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiyaβ¦sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!
MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"
MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"
"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisaβ¦.papai jamani"
KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"
"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!β¦Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"
RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"
Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"
Kimyaaaβ¦
Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!β¦β¦..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"
WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"
MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!β¦.ofa nyingineeee!"
Kimyaaaβ¦
Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!β¦ofa nyinginee!
Kimyaaaβ¦.
Kimyaaaβ¦.
πππβ¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balanceβ¦sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπ(mama wee Mosha anachezea Simu!)β¦..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)β¦..mama weeeπ
MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!
Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maitiβ¦.kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John Cenaπβ¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimiβ¦.Chicken wings zinataka kutokea Masikioniβ¦..Uuuuwiiiii,πππ
Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na Tomatoπππππ.
chiel wie okee
Moses Kipkemboi (Guest) on July 18, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2019
π Umenishika vizuri!
Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2019
π Hii imenigonga kweli!
John Lissu (Guest) on June 6, 2019
π€£π€£ππ
Lydia Mahiga (Guest) on May 28, 2019
ππ
Alice Mrema (Guest) on May 25, 2019
π€£ππ
Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2019
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Linda Karimi (Guest) on March 28, 2019
π Lazima nihifadhi hii!
Hekima (Guest) on March 25, 2019
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Joy Wacera (Guest) on March 20, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
David Chacha (Guest) on March 5, 2019
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Joseph Kawawa (Guest) on February 19, 2019
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Ramadhan (Guest) on January 16, 2019
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Alex Nyamweya (Guest) on November 22, 2018
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Mjaka (Guest) on November 8, 2018
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2018
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Yahya (Guest) on October 29, 2018
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Richard Mulwa (Guest) on August 26, 2018
π€£π€£π
Samson Mahiga (Guest) on July 9, 2018
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2018
ππ€£ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 4, 2018
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Victor Malima (Guest) on June 29, 2018
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Janet Mwikali (Guest) on May 24, 2018
Umetisha! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on April 18, 2018
Nimecheka hadi machozi π€£π
Joseph Kitine (Guest) on April 16, 2018
π πππ
Arifa (Guest) on February 15, 2018
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Rabia (Guest) on February 11, 2018
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Victor Sokoine (Guest) on January 1, 2018
π Hii ni hazina ya kichekesho!
James Malima (Guest) on December 10, 2017
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Charles Wafula (Guest) on November 25, 2017
Hii imenibamba sana! π π€£
Grace Minja (Guest) on November 12, 2017
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Emily Chepngeno (Guest) on November 9, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Mwafirika (Guest) on November 3, 2017
π Umeimaliza kabisa!
Biashara (Guest) on October 23, 2017
π Hii ni ya kuhifadhi!
Betty Akinyi (Guest) on October 13, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Mary Mrope (Guest) on October 7, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Rose Lowassa (Guest) on August 30, 2017
ππ€£
Ann Awino (Guest) on August 26, 2017
π Bado nacheka!
Elizabeth Mtei (Guest) on August 3, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
David Ochieng (Guest) on August 2, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
John Kamande (Guest) on July 27, 2017
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Chiku (Guest) on July 4, 2017
π Nilihitaji kicheko hicho!
Janet Sumaye (Guest) on May 16, 2017
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Michael Onyango (Guest) on May 5, 2017
Hii imenibamba sana! ππ
Rabia (Guest) on May 3, 2017
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Charles Mboje (Guest) on May 2, 2017
πππ€£
Monica Nyalandu (Guest) on April 19, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Abdullah (Guest) on April 11, 2017
π Dhahabu ya vichekesho!
Jane Muthui (Guest) on March 31, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Samuel Were (Guest) on March 14, 2017
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Mary Kendi (Guest) on March 11, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Robert Ndunguru (Guest) on March 6, 2017
ππππ
Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017
Huyu alikuwa na point! ππ
Zawadi (Guest) on February 20, 2017
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Ramadhan (Guest) on February 14, 2017
π Ninaihifadhi hii!
Irene Makena (Guest) on February 7, 2017
ππ
Mary Kidata (Guest) on February 7, 2017
ππ€£ππ
Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Janet Mbithe (Guest) on January 13, 2017
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Joy Wacera (Guest) on January 11, 2017
Ucheshi wa hali ya juu! ππ