Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Bahati (Guest) on August 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kevin Maina (Guest) on July 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on July 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mtaki (Guest) on June 19, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 10, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on May 13, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on May 3, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mhina (Guest) on April 10, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Majid (Guest) on April 5, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Khadija (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Michael Onyango (Guest) on March 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on March 14, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on March 8, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Mwangi (Guest) on February 18, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on February 6, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nasra (Guest) on January 14, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on December 12, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Hassan (Guest) on December 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Hawa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on September 14, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on April 19, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

George Tenga (Guest) on April 1, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rashid (Guest) on February 27, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on February 6, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Khadija (Guest) on January 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Carol Nyakio (Guest) on January 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 10, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on October 2, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samson Mahiga (Guest) on September 7, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rubea (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Omari (Guest) on August 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lydia Mutheu (Guest) on July 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on July 8, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on June 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Farida (Guest) on June 20, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on May 4, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on April 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More