Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on August 29, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on June 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Chum (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Omari (Guest) on April 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Faiza (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on March 8, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yusuf (Guest) on March 7, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Baridi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on January 12, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on January 8, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on December 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Philip Nyaga (Guest) on November 10, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on August 26, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on July 9, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on June 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 8, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarafina (Guest) on May 20, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Yusra (Guest) on April 15, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Majid (Guest) on April 8, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Kidata (Guest) on March 31, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 15, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on December 30, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 18, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Charles Mchome (Guest) on November 16, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on November 13, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on October 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kahina (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Hawa (Guest) on August 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on July 6, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mrope (Guest) on May 20, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More