Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanakhamis (Guest) on July 31, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on July 10, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Linda Karimi (Guest) on June 28, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Baraka (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on May 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mazrui (Guest) on March 25, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on March 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on February 17, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on January 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Khatib (Guest) on December 15, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 25, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on October 24, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Zakia (Guest) on September 23, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Mushi (Guest) on September 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Salima (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on June 2, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Umi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 21, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Nasra (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Azima (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fatuma (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on March 9, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusra (Guest) on January 6, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Saidi (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Lowassa (Guest) on October 27, 2017

Asante Ackyshine

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 28, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on August 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hawa (Guest) on May 22, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More