Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Mwinuka (Guest) on January 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on January 3, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 28, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on November 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on October 13, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on October 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Mallya (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on August 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Yusra (Guest) on August 6, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 3, 2019

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on August 3, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 15, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on July 12, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Chris Okello (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Anna Mchome (Guest) on June 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on June 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on May 25, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Warda (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mary Sokoine (Guest) on May 5, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on May 1, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Martin Otieno (Guest) on April 30, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on April 7, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 16, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Linda Karimi (Guest) on March 5, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kamau (Guest) on December 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 9, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Muslima (Guest) on November 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Tabitha Okumu (Guest) on October 28, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on October 3, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kazija (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on September 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Halima (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jafari (Guest) on September 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 1, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Azima (Guest) on July 16, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mwanahawa (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on June 17, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on June 11, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Komba (Guest) on March 13, 2018

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on March 5, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on February 15, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on January 4, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

John Kamande (Guest) on November 28, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on November 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More