Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on May 4, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on April 5, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 31, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Kawawa (Guest) on March 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 29, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Zakaria (Guest) on February 22, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Njuguna (Guest) on February 19, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Kikwete (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on January 11, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on January 3, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on December 19, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on December 16, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zuhura (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Joyce Nkya (Guest) on December 11, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 5, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on November 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on November 17, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mashaka (Guest) on October 30, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Njeri (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on October 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on September 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on August 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on August 4, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on June 14, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 12, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on May 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwanahawa (Guest) on March 27, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Mahiga (Guest) on March 17, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Wanjiku (Guest) on February 25, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on February 23, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Raphael Okoth (Guest) on February 17, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Fikiri (Guest) on February 9, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Maida (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on January 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on December 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Wilson Ombati (Guest) on November 16, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sarah Karani (Guest) on November 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sekela (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Peter Mwambui (Guest) on September 19, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Faiza (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Makame (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mwanajuma (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mugendi (Guest) on August 4, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on July 11, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mjaka (Guest) on July 5, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on June 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 8, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on June 7, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on June 3, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More