Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwanakhamis (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on December 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 2, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on November 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Issa (Guest) on October 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on September 27, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Tenga (Guest) on July 9, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on May 11, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Henry Sokoine (Guest) on April 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on April 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Nyambura (Guest) on March 29, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on March 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 21, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rashid (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mgeni (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on October 28, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Farida (Guest) on October 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Athumani (Guest) on August 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maida (Guest) on July 11, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mtangi (Guest) on June 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on May 30, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on April 4, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ndoto (Guest) on February 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on January 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on January 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Daniel Obura (Guest) on November 21, 2019

😊🀣πŸ”₯

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on October 19, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.