Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on February 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on January 7, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jackson Makori (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Chiku (Guest) on December 22, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on October 23, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 2, 2021

😊🀣πŸ”₯

Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on August 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Irene Akoth (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rehema (Guest) on June 9, 2021

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 7, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on March 6, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nekesa (Guest) on February 15, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 7, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on January 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Husna (Guest) on November 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on September 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwalimu (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Malima (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 17, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Amani (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Akumu (Guest) on July 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ramadhan (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Zubeida (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Issa (Guest) on January 9, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwanahawa (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Robert Okello (Guest) on December 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on December 2, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Omari (Guest) on September 28, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salma (Guest) on September 16, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 23, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on July 28, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on July 18, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mwajabu (Guest) on July 15, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Daudi (Guest) on July 4, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on June 22, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More