Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Njuguna (Guest) on December 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on November 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on October 19, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on October 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaisha (Guest) on September 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mustafa (Guest) on September 14, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on September 7, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ruth Kibona (Guest) on January 14, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Majid (Guest) on July 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on June 29, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on June 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nassor (Guest) on June 6, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Malima (Guest) on April 15, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on April 4, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on March 13, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on February 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Farida (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on December 31, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on November 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 4, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More