Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salima (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Malisa (Guest) on June 30, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 18, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Chacha (Guest) on February 22, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Athumani (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwakisu (Guest) on April 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More