Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edith Cherotich (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on February 14, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edwin Ndambuki (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Leila (Guest) on November 30, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on November 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Tenga (Guest) on October 30, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on July 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Linda Karimi (Guest) on June 11, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 19, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on April 21, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jackson Makori (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 5, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on December 1, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kimani (Guest) on December 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on October 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jafari (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 7, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on June 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on April 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabu (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on March 29, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 27, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on March 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Omar (Guest) on December 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Hellen Nduta (Guest) on December 11, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on November 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on November 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on November 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Wambura (Guest) on October 4, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Related Posts

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More