Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sala kwa wenye kuzimia

Featured Image

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on February 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Kenneth Murithi (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mwanaidi (Guest) on August 14, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on July 22, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Emily Chepngeno (Guest) on May 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Kimaro (Guest) on April 30, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Kidata (Guest) on December 20, 2015

Sifa kwa Bwana!

Moses Mwita (Guest) on October 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on October 5, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Akech (Guest) on September 8, 2015

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mtei (Guest) on July 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jane Muthui (Guest) on May 1, 2015

Dumu katika Bwana.

Nancy Komba (Guest) on April 21, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)