Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

Kanuni ya imani
Date: December 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA JIONI
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETUβ¦β¦β¦β¦β...
Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

SALA YA IMANI
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More
Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Patrick Kidata (Guest) on April 16, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Chris Okello (Guest) on March 26, 2024
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
David Ochieng (Guest) on February 17, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Anna Kibwana (Guest) on November 30, 2023
Endelea kuwa na imani!
Samuel Were (Guest) on November 30, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
David Musyoka (Guest) on October 29, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
Benjamin Kibicho (Guest) on October 6, 2023
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Robert Okello (Guest) on April 20, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Paul Ndomba (Guest) on April 18, 2023
πππ Mungu akufunike na upendo
Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2023
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Stephen Kangethe (Guest) on February 8, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Joyce Mussa (Guest) on January 22, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Josephine Nduta (Guest) on October 20, 2022
Rehema hushinda hukumu
Grace Wairimu (Guest) on October 15, 2022
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Victor Kimario (Guest) on September 21, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Edith Cherotich (Guest) on August 18, 2022
Mwamini Bwana; anajua njia
Francis Mrope (Guest) on May 9, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Rose Kiwanga (Guest) on May 8, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Jane Muthui (Guest) on May 3, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
David Nyerere (Guest) on April 25, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
James Kimani (Guest) on April 14, 2022
ππ Mungu wetu asifiwe
Anna Malela (Guest) on March 5, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Richard Mulwa (Guest) on January 19, 2022
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Wilson Ombati (Guest) on January 3, 2022
ππ Mungu akujalie amani
John Mwangi (Guest) on December 29, 2021
Amina
Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2021
Nakuombea π
Lucy Mahiga (Guest) on November 10, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Victor Kamau (Guest) on September 8, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Esther Nyambura (Guest) on May 8, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Betty Akinyi (Guest) on May 5, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Nancy Akumu (Guest) on March 24, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anna Malela (Guest) on February 28, 2021
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Samuel Were (Guest) on February 12, 2021
Dumu katika Bwana.
Robert Okello (Guest) on January 16, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Joseph Kitine (Guest) on December 4, 2020
Mwamini katika mpango wake.
Moses Kipkemboi (Guest) on October 21, 2020
ππ Nakushukuru Mungu
Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Anna Mchome (Guest) on February 22, 2020
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Ann Wambui (Guest) on February 16, 2020
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Kevin Maina (Guest) on December 31, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Charles Wafula (Guest) on December 16, 2019
Neema na amani iwe nawe.
Charles Mboje (Guest) on November 23, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Malima (Guest) on November 20, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Chacha (Guest) on November 4, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Joy Wacera (Guest) on August 14, 2019
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Janet Mbithe (Guest) on June 18, 2019
ππ Mungu alete amani
Patrick Mutua (Guest) on May 12, 2019
ππ Neema za Mungu zisikose
Nancy Kawawa (Guest) on March 26, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Grace Majaliwa (Guest) on March 10, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Janet Mwikali (Guest) on February 19, 2019
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Janet Sumaye (Guest) on December 18, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Carol Nyakio (Guest) on December 6, 2018
Rehema zake hudumu milele
Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
John Lissu (Guest) on September 20, 2018
πβ¨ Mungu atakuinua
Nancy Kabura (Guest) on August 10, 2018
πβ¨ Mungu atupe nguvu
George Wanjala (Guest) on May 7, 2018
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Andrew Odhiambo (Guest) on September 2, 2017
ππ Asante kwa neema zako Mungu