Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Featured Image

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako, ukachagua Mapadri wawe Wachungaji na Viongozi wa roho za watu. Nakuomba sana; ubariki nia na bidii inayowapasa Mapadri wote katika kazi zao. Uwaongezee Utakatifu.

Uwatie moyo mzuri wenye mapendo makubwa kwako na roho za watu. Hivyo wakiisha kupata wenyewe Utakatifu, waweze kuwaongoza vizuri watu walio chini ya ulinzi wao, katika njia ya Utakatifu na furaha ya milele. Uwajalie neema zote za hali ya Upadri. Uwajalie ili waonyeshe kila siku ya maisha yao mfano wa kila fadhila ya mapendo na ya uaminifu katika Kanisa, kwa Baba Mtakatifu na kwa Maaskofu.

Yesu mpendelevu, uangalie kwa mapendo kazi na mateso ya Mapadri wako; ubariki na ustawishe mafundisho yao; wanapowafundisha watoto, wanapowahubiria watu, wanapowatuliza wakosefu watubu na wanapowasaidia wagonjwa na wale wanaokaribia mauti, Ee Yesu uwe pamoja nao. Uwakinge na hatari zote za roho na za mwili.

Mwokozi Yesu, ulijalie Kanisa liwe na Mapadri wengi walio Watakatifu. Uwajalie watoto na vijana wengi wasikie wito wa Upadri, uwatie furaha na Utakatifu na roho za Mapadri waliokufa uzijalie punziko la amani.

Kwa mimi mwenyewe Ee Yesu mpendelevu, naomba unijalie roho ya imani na utii mnyenyekevu ili niwaheshimu Mapadri kama Mawakili wa Mungu. Niwatii katika njia zote za wokovu wa roho yangu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edwin Ndambuki (Guest) on June 17, 2024

Imani inaweza kusogeza milima

Nancy Kawawa (Guest) on June 13, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Peter Mbise (Guest) on April 15, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Lydia Wanyama (Guest) on April 12, 2024

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Lucy Kimotho (Guest) on March 4, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on December 18, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Peter Mwambui (Guest) on August 19, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lucy Wangui (Guest) on July 17, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Monica Nyalandu (Guest) on June 19, 2023

Dumu katika Bwana.

David Nyerere (Guest) on May 15, 2023

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

David Sokoine (Guest) on January 11, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

John Lissu (Guest) on January 11, 2023

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Janet Sumari (Guest) on December 29, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on October 27, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

James Mduma (Guest) on September 14, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Daniel Obura (Guest) on June 5, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Catherine Naliaka (Guest) on March 5, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Monica Nyalandu (Guest) on February 18, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Amukowa (Guest) on August 17, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Alex Nakitare (Guest) on March 22, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Kidata (Guest) on January 23, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Benjamin Kibicho (Guest) on January 3, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Emily Chepngeno (Guest) on July 11, 2020

Amina

Joyce Mussa (Guest) on June 20, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Grace Mligo (Guest) on April 9, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Kevin Maina (Guest) on March 30, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Victor Kimario (Guest) on February 3, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Charles Mchome (Guest) on December 27, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Victor Malima (Guest) on December 24, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Frank Sokoine (Guest) on December 11, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

George Wanjala (Guest) on December 2, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Andrew Odhiambo (Guest) on November 11, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Nkya (Guest) on November 10, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Rose Lowassa (Guest) on November 8, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Nancy Komba (Guest) on August 14, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Malima (Guest) on August 10, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Linda Karimi (Guest) on June 1, 2019

Mungu akubariki!

Kenneth Murithi (Guest) on April 24, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Mutheu (Guest) on April 11, 2019

Sifa kwa Bwana!

Peter Mbise (Guest) on April 10, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Amukowa (Guest) on March 15, 2019

Rehema zake hudumu milele

Victor Kimario (Guest) on February 11, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Agnes Sumaye (Guest) on February 10, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 2, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Grace Mushi (Guest) on December 27, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Tabitha Okumu (Guest) on December 5, 2018

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Andrew Mchome (Guest) on December 2, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2018

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Ann Awino (Guest) on June 19, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Mushi (Guest) on April 9, 2018

Mwamini katika mpango wake.

George Ndungu (Guest) on April 3, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Hellen Nduta (Guest) on April 1, 2018

Nakuombea πŸ™

Betty Kimaro (Guest) on March 23, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Joyce Nkya (Guest) on March 20, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Charles Mboje (Guest) on November 14, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Jackson Makori (Guest) on November 9, 2017

Endelea kuwa na imani!

Henry Sokoine (Guest) on August 22, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Related Posts

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More