Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Tabitha Okumu (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 20, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on October 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on October 1, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwagonda (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Shamsa (Guest) on August 22, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on July 17, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Raha (Guest) on June 27, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jaffar (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Maimuna (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Amollo (Guest) on June 1, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on May 10, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kiza (Guest) on April 15, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 10, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 17, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on February 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 8, 2021

😊🀣πŸ”₯

Shamsa (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on December 8, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Wanjiku (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Carol Nyakio (Guest) on November 20, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 10, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on November 7, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on October 18, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wande (Guest) on October 8, 2020

Asante Ackyshine

Margaret Mahiga (Guest) on October 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Leila (Guest) on July 19, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on July 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on June 26, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 27, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on May 4, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Halima (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jaffar (Guest) on March 30, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Tibaijuka (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Wambura (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Makame (Guest) on February 23, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on February 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on February 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on January 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on December 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 9, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jabir (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on August 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on August 18, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 6, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ali (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on July 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More