Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Featured Image

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivyo ikabidi nishuke ili kuisukuma loh! Yani kudadeki ile kuamka nikakuta nimesukuma kitanda hadi sebleni Daaa ilinisikitisha sana jiangalie sana sese hivi ndio narudisha kitanda chumbani .angalizo angalia ndoto unazo ota unaweza kuota upo baharini ukaamka unajikukuta unaogelea kwenye Jaba la Maji shauri yako.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Majaliwa (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 15, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on August 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Faiza (Guest) on July 19, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on June 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on June 26, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on June 4, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 2, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Zainab (Guest) on May 25, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jabir (Guest) on May 11, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

James Malima (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on February 23, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Maida (Guest) on February 3, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Brian Karanja (Guest) on January 20, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kevin Maina (Guest) on January 4, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on January 3, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on November 22, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mchawi (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mazrui (Guest) on October 1, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Majid (Guest) on September 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on September 20, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on September 1, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 4, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 24, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwagonda (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Amina (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on June 12, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Omar (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on May 30, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on April 19, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Wanjala (Guest) on April 14, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on April 11, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwalimu (Guest) on April 3, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Nkya (Guest) on March 20, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Issack (Guest) on March 19, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on March 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on February 15, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fadhila (Guest) on February 10, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwanakhamis (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Brian Karanja (Guest) on January 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on December 13, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on November 17, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on November 11, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Shamim (Guest) on November 4, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Khamis (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Janet Wambura (Guest) on October 14, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on October 7, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More