Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarafina (Guest) on March 5, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Patrick Akech (Guest) on March 4, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on February 9, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 23, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on January 12, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Akech (Guest) on January 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on January 8, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on December 9, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Peter Mbise (Guest) on December 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kiza (Guest) on November 29, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Charles Mrope (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Simon Kiprono (Guest) on August 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on June 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Latifa (Guest) on May 26, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Mwangi (Guest) on May 13, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on April 21, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Sumari (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on March 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on February 26, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on January 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on January 3, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on December 20, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on November 19, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on November 19, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mwanajuma (Guest) on November 17, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wande (Guest) on October 31, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on October 27, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on October 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sultan (Guest) on October 10, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Macha (Guest) on October 5, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on August 13, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jamal (Guest) on August 3, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on June 27, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on June 23, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on May 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Amani (Guest) on May 12, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on May 7, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chum (Guest) on April 26, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 31, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chum (Guest) on March 11, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Saidi (Guest) on March 11, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Amollo (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on January 21, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bakari (Guest) on December 26, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Kamau (Guest) on December 6, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Amollo (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More