Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joy Wacera (Guest) on May 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on April 27, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 23, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ahmed (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on March 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Mtangi (Guest) on March 28, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Majid (Guest) on March 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Salum (Guest) on February 9, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mchawi (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

😊🀣πŸ”₯

Paul Kamau (Guest) on December 13, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on December 8, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on November 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on November 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Yahya (Guest) on October 20, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Latifa (Guest) on October 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mrope (Guest) on October 11, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Andrew Mahiga (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Shabani (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 18, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on July 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on June 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Selemani (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwachumu (Guest) on May 11, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

George Tenga (Guest) on April 3, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Margaret Anyango (Guest) on March 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mumbua (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Amollo (Guest) on October 29, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 10, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 7, 2020

Asante Ackyshine

Francis Njeru (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on August 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Yusra (Guest) on August 16, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nasra (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on June 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 31, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sultan (Guest) on May 27, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More