Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidi (Guest) on January 25, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

James Malima (Guest) on January 24, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Sumaye (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kamau (Guest) on November 2, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on October 28, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 18, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Mligo (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Margaret Anyango (Guest) on September 30, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on September 25, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on September 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2021

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on July 29, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Masanja (Guest) on July 28, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

David Nyerere (Guest) on July 22, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Nkya (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 9, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nancy Akumu (Guest) on May 25, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on May 9, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nchi (Guest) on April 20, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwachumu (Guest) on April 9, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rukia (Guest) on March 28, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on February 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanais (Guest) on January 21, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 9, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on January 2, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Lowassa (Guest) on December 15, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on November 23, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on November 22, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on November 8, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on October 29, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Majid (Guest) on October 14, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Malima (Guest) on August 24, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on August 17, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Kamau (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on June 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on June 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 1, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Hashim (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Zulekha (Guest) on April 16, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 12, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 7, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on March 2, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kimario (Guest) on February 26, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on February 24, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Chacha (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More