Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zulekha (Guest) on July 19, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on July 17, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 1, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on June 26, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on June 21, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 21, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 30, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwakisu (Guest) on March 19, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daniel Obura (Guest) on March 18, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakaria (Guest) on February 17, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Henry Sokoine (Guest) on February 16, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on February 12, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on December 13, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahim (Guest) on November 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Hashim (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on August 23, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Kamande (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Komba (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on July 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mustafa (Guest) on June 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Irene Akoth (Guest) on April 24, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Zakaria (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumaye (Guest) on January 28, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Kawawa (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on January 6, 2023

Asante Ackyshine

Irene Akoth (Guest) on December 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 5, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Njeru (Guest) on November 29, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 28, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on July 26, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine (Guest) on July 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 5, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Latifa (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 12, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on February 10, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More