Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Featured Image

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»??

BOYFRENDΒ»>najitahid kukujibu lakin mtandao unasumbua,imefika??(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kama hunipend bhas usinijbu,kama unanipenda kwel bhas nijibu

BOYFREND»»i love you (SENDING FAILED)
GALFREND»»do you lov me????

BOYFREND»»i lov you baby(SENDING FAILED)

GARLFREND»»usiongee na mimi tenaaaaa

BOYFREND»»i love you sweetieeee(SENDING FAILED)

GARLFREND»»unataka mim na wew tuachaneee????

BOYFREND»»nshachoka mie na huu upUmbavu,shenz (MESSAGE SENT)

πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on July 14, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

David Nyerere (Guest) on July 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Mbithe (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on April 27, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nduta (Guest) on April 11, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on April 11, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on March 27, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on March 23, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 17, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Lissu (Guest) on January 13, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sultan (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Henry Mollel (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nora Kidata (Guest) on October 25, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on October 23, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mushi (Guest) on August 16, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anthony Kariuki (Guest) on July 27, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on July 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on July 13, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Wairimu (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on April 5, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on February 21, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on February 18, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on January 3, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chris Okello (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on December 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on December 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mtaki (Guest) on December 1, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Amani (Guest) on November 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on October 29, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwanakhamis (Guest) on October 15, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kimario (Guest) on October 14, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Muslima (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mashaka (Guest) on August 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwachumu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Wangui (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kazija (Guest) on April 28, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 5, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Richard Mulwa (Guest) on December 1, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on November 29, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on October 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alex Nakitare (Guest) on October 17, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on September 20, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Kassim (Guest) on September 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

James Malima (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kassim (Guest) on July 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More