Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…!
Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.

Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!

Vuta picha hapo…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mchome (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nuru (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Mbithe (Guest) on May 29, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on May 24, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sumaya (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Tambwe (Guest) on April 15, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rabia (Guest) on April 1, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 5, 2024

Asante Ackyshine

Warda (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 12, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Achieng (Guest) on November 25, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on November 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Chiku (Guest) on October 19, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 24, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on August 17, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on July 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Kidata (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on April 16, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwinyi (Guest) on April 3, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Malecela (Guest) on February 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on January 22, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

David Nyerere (Guest) on December 22, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Warda (Guest) on September 10, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on August 16, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 15, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Vincent Mwangangi (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Hashim (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

George Mallya (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Irene Makena (Guest) on April 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Lucy Wangui (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on February 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Salima (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Kiwanga (Guest) on February 5, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Wambui (Guest) on January 29, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on December 5, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on November 24, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on November 23, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaisha (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Patrick Mutua (Guest) on October 3, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on September 27, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More