Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiyaโ€ฆsasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisaโ€ฆ.papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!โ€ฆBenedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaaโ€ฆ

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!โ€ฆโ€ฆ..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!โ€ฆ.ofa nyingineeee!"

Kimyaaaโ€ฆ

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!โ€ฆofa nyinginee!

Kimyaaaโ€ฆ.

Kimyaaaโ€ฆ.

๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โ€ฆhapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balanceโ€ฆsasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogoo๐Ÿ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)โ€ฆ..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)โ€ฆ..mama weee๐Ÿ˜

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maitiโ€ฆ.kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John Cena๐Ÿ‘€โ€ฆMama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimiโ€ฆ.Chicken wings zinataka kutokea Masikioniโ€ฆ..Uuuuwiiiii,๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na Tomato๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 22, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Zuhura (Guest) on July 19, 2024

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Minja (Guest) on July 9, 2024

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐Ÿ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 15, 2024

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2024

๐Ÿ˜‚ Kali sana!

Chum (Guest) on May 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐Ÿ˜

Husna (Guest) on April 18, 2024

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on April 11, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 21, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Susan Wangari (Guest) on February 13, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Muslima (Guest) on January 27, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Alice Mwikali (Guest) on January 3, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Lucy Mahiga (Guest) on December 4, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

John Mushi (Guest) on October 27, 2023

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Nancy Komba (Guest) on October 7, 2023

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Sofia (Guest) on September 29, 2023

๐Ÿ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on September 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Ann Awino (Guest) on August 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„

David Nyerere (Guest) on July 30, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Chum (Guest) on May 19, 2023

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 7, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 15, 2023

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on February 19, 2023

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on February 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 26, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2023

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Robert Okello (Guest) on January 18, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐ŸŽ‰

Warda (Guest) on November 20, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on November 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘Œ

Tabu (Guest) on August 29, 2022

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2022

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ‘

John Lissu (Guest) on August 25, 2022

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on July 30, 2022

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Maulid (Guest) on July 25, 2022

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hii imenikuna! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Dorothy Nkya (Guest) on May 11, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Josephine (Guest) on April 29, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Ruth Mtangi (Guest) on April 18, 2022

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Hekima (Guest) on March 28, 2022

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 26, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mwafirika (Guest) on February 6, 2022

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Wafula (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 4, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

James Kawawa (Guest) on January 2, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on December 1, 2021

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜Š

Samuel Were (Guest) on December 1, 2021

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Irene Akoth (Guest) on November 24, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Mariam (Guest) on November 20, 2021

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 30, 2021

๐Ÿ˜† Ninakufa hapa!

Simon Kiprono (Guest) on October 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Related Posts

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beibโ€ฆ
B... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hiiโ€ฆ

โ€ฆSamahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!โ€ฆ

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More