1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe
Misemo 17 ya kuchekesha
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Guest (Guest) on November 9, 2025
abu misemo
mama wakambo simama mana akikaa ndo utasema mama wakambo siurale
Guest (Guest) on November 9, 2025
ABU sido misemo
usiombe siku mpenziwako agombane nampenziwake
Guest (Guest) on October 14, 2025
"mala paaa tunaenda "mbinguni alafu tunaambiwa " sadaka
"ulizokua unatoa
"duniani ndo
matumizi yako uku
mbinguni mh
haki yamungu kunawengine tutakua omba omba jamani tutoweni sadaka
abu apa 0681305278
Guest (Guest) on October 7, 2025
"TANGAZO TANGAZO masika imefika "kwawalewote wanaotaka kupanda ndege lengi loizi loizi " "mabasi pg 0683015278 mbegu zake ninazo NIABU APA MTOTO WAMIKIDADI SAIDI BY
Guest (Guest) on October 17, 2025
OK
Guest (Guest) on October 7, 2025
kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho nao unamwishowake
Guest (Guest) on October 8, 2025
kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho pia unamwishowake hata boss pia anaboss wake hatami abu mikidadi naishi2 ila namwishowangu
Guest (Guest) on August 9, 2025
MISEMO
Guest (Guest) on November 9, 2025
ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga
"kutoa mimba alafu unalala namdori
"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia
"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani
"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi
nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ
Guest (Guest) on November 9, 2025
ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga
"kutoa mimba alafu unalala namdori
"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia
"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani
"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi
nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ
Guest (Guest) on November 9, 2025
ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga
"kutoa mimba alafu unalala namdori
"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia
"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani
"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi
nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ
Guest (Guest) on October 8, 2025
acha kazi uwone kazi inavokua kazi kupata kazi
ABU AP 0681305278
Guest (Guest) on October 7, 2025
ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua (ABU)(mikidadi)apa
Guest (Guest) on October 7, 2025
ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua
Guest (Guest) on August 20, 2025
Dah: mnachekesha kweli ety
Guest (Guest) on November 9, 2025
ABU MAHEMBE KGM TZ SIDO SAMIRU SIDO KGM TZ MISEMO ITAKAYO KUACHA HOI NAKICHEKO
.
"%mtoto kaambiwa %nababayake hongera mwanangu umemariza chuo kikuu chagua zawadi yoyote uwipendayo dg akajibu "naomba hela nikamuowe bibi mana kila siku ananita mmewake " baba akajibu mshenzi mkubwa wewe %huwezi kumuowa yule nimamayangu mzazi %dg akajibu mbona wewe umemuowa mamayangu mzazi sijasema kitu kumbe inaumaee kama nivo nenda kwamayako namimi nibaki namamayangu kilamtu abaki namayake ungekuwa niwewe ungemjibu nini huyu dg hahahahahahahahaha
Guest (Guest) on October 8, 2025
ya ni abu apa kutoka sido nilikua naomb mniunge namimi niwe natupia misemo watu walike
Guest (Guest) on November 9, 2025
ABU MAHEMBE KGM TZ
HIi NIKWA MABEST Frend wote
HΒ£LO BΒ£ST Frend
WAMBIΒ£ SISI NIMABEST FRENDI
WATASEMA SANA SISI BADOTUPO TΒ£NA TUPOSANA HAWAJUI KAMA MANENO YAO NDO TAMBIKORA YANAZIDI KUKORΒ£ZA URAFIKIWE TENA WAKAZANE
Guest (Guest) on August 15, 2025
Balaaaa
Wande (Guest) on July 21, 2024
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Guest (Guest) on October 11, 2025
"ofa ofa
"kwanzia kesho "nakuendea selekar
"imeluhusu wavuta bangi wote mvutie bangi hazala vituo vya polic kambi zajexhi maeneo yaikulu kote ukwo bangi inukie kama pilau
hahahahaha kitakacho wakuta zawad milini 5
abu
Guest (Guest) on October 8, 2025
"sikumoja PADR na sister "waliwa "wakifanya "mapenzi chini yamti "kumbe juu " yaule mtii palikua "na mvuta bangi "walipomaliza "sister akauliza ulitumia kinga "PADR hapana " sistel sasa itakuaje nikipata mimba "PADRI akajibu "yote tumuachie aliejuu "yule mvuta bang akajua niyeye akajibu kwasaut pumbavu yani mapenzi mfanye nyie mimba mniachie mimi PADRI na sister inamana yote tuliyofanya apa umena aaaaaaaaa? hahahahaha STOR imetoka kwangu abu wamiki apa by
Guest (Guest) on September 22, 2025
Hahahaha mnanikumbuxha enzi zang
Guest (Guest) on August 20, 2025
Zote kali
Guest (Guest) on October 8, 2025
"unasema beby wako "anakupenda sasa fanya "ivi chukua gunia la hela "nawewe mkae apo "alafu umwambie beby "chagu kitu ukipendacho "kati yaiili gunia lahela namimi alafu "tuone ABU APA niulize mimi nambayangu iyapa0681305278
John Mwangi (Guest) on July 7, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Guest (Guest) on October 8, 2025
niungen
Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024
π€£ Sikutarajia hiyo!
David Sokoine (Guest) on June 14, 2024
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024
Hii imenichekesha sana! π€£π
Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2024
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Janet Sumari (Guest) on April 10, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Francis Njeru (Guest) on March 24, 2024
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
John Lissu (Guest) on March 13, 2024
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Jackson Makori (Guest) on March 11, 2024
π Nimeipenda kabisa hii!
Sarah Karani (Guest) on February 28, 2024
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Chris Okello (Guest) on February 20, 2024
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Ruth Mtangi (Guest) on February 8, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Guest (Guest) on October 3, 2025
Nilikuwa nahalisha ila kwa hii nahisi nimepona
Esther Nyambura (Guest) on January 25, 2024
π€£ππ
Peter Mbise (Guest) on November 11, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Josephine Nekesa (Guest) on November 11, 2023
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023
πππ π€£
Bernard Oduor (Guest) on October 29, 2023
π Bado nacheka!
Martin Otieno (Guest) on October 20, 2023
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2023
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Ahmed (Guest) on October 5, 2023
π Hii ni ya kuhifadhi!
Guest (Guest) on October 8, 2025
woyooooo!Β‘!Β‘ hello "kile *.kidada.*kinachosemaga"*.saliolako.*halitoshi*.* "*kupg.*sm.*hiii.*sikimefukuzwa kazi
"*et kisa namama.*samia .*alipg .*kikamwambia salio lake "halitoshi kupg cm "kwahiosasa iv kupg nibuleeee!Β‘kabisa kamahauwamini
nipgie0681305878 ABU APA BY SIDO BILA KUMSAHAU SAMIRU SIDO NAYASIN
Paul Kamau (Guest) on September 27, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Latifa (Guest) on September 26, 2023
π Kali sana!
Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023
π€£π€£ππ
Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2023
Hii imenikuna sana! ππ
Charles Wafula (Guest) on August 15, 2023
ππ
Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Hellen Nduta (Guest) on July 14, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£