Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..
Kama umeipenda shea na rfiki zakoooโฆ..
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐ฐ
๐ Siwezi kuacha kucheka na hii!
๐ Nimeipenda kabisa hii!
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐