Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!

Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, “Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?”
MKE akajibu kwa unyonge, “Ndio!”
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Ann Wambui

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Agnes Sumaye

😊😂🤣

Salma

😅 Bado nacheka!

Lucy Kimotho

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Patrick Akech

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop