Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!
Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, “Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?”
MKE akajibu kwa unyonge, “Ndio!”
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoiβ¦β¦
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote
Misemo 17 ya kuchekesha
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake
Hii dunia kweli haina haki, soma hii