Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
“Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani”
Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , “niaje mrembo”, akanikazia macho kisha akaniambia,
“Shika battery yako uliangusha ukitoa simu”
Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza ππππππππππππππππ
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale paleπΆπΏπΆπΏπΆπΏ
Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Munguβ¦ πππππ
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga
Hii ndiyo maana ya matatizo
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo