Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

236 thoughts on “Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada”

    1. jamaa kaingia mskitini akauliza jamani nani mwislam apa wot kmy akachukua moja akatokanae njenae akamwambia nataka unichinjie mbuzi yule shehe akamchinjia shehe akasema mimi naweza kuchinja ila kuchuna sjui sika upanga wako katafu mule shehe mwingine anajua kuchuna jamaa akalud mskitini naule upanga ukiwa unatililika dam akasema jamani nauliza tena nani mwislam watu walivona vile wakajua mwenzao atakua amechinjwa imam akasema bwana yesu asifiwe wote milele amina ABU AP

    1. “Β₯””Β₯”””Β₯”
      msione niko kimya
      niko mbinguni “naangalia hidadi yawatu
      watakao ufikia mwaka 2026 lakini wewe unaesoma hapa jinalako silioni sasa napatashida kwel kulitafuta
      “najalibu kumwambia bwana IZRAERi akuandike amesema anataka rushwa
      kama una hata /=10000 nitumie akuandike chapu sivyo utaishia mwaka 2025

      0681305278 ABU APA

Leave a Reply to Alex Nakitare Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart