Updated at: 2024-05-25 17:44:57 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
๐Ujinga wa ndoto ndiyo huu โขโขUtaota umeokota dolla ukiamka emptyโฆ โขโขUtaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOAโฆ.. ๐๐๐๐๐๐
Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi
Updated at: 2024-05-25 17:03:53 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
๐๐๐๐๐๐ Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu, Jamaa wakaniambia nichukue nguo nikanyooshe room kwao maana hawataki pasi yao itoke. Sasa leo amekuja mmoja wao kuazima mopper akasafishe room, nimemwambia aje adekie humu humuโฆ
Jamaa ameondoka nadhani atakua ameenda kuchukua maji ๐ค๐ค๐ค
Updated at: 2024-05-25 17:04:27 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema.. Order! Orderโฆ Mimi na kiherehere changu nikasema.. Chapati .. Maziwa na ovacado tatu โฆ Nimewekwa kwa karoom kengine hapa kanagiza.. i think wananiandalia chapati ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Updated at: 2024-05-25 17:05:40 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna mtu kanikeraย et nmemkubalia urafiki Leo tuย Facebook anataka kujua kabila langu Bac akajifanya mjanjaa etย akaniuliza mbu kwenu mnawaitaje Mimi nkamjibu hatuwaiti wanakujagaย wenyewe ๐๐๐๐๐๐๐ Si kwamba cjamuelewa ila sipendagi Ujinga Mimi
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?
Updated at: 2024-05-25 18:05:50 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?
akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka
watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto
wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee,
Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi
yuleeeeeeeeโฆ. naenda kazini!! JE, NI KWELI
AMEPONA??