Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Huyu mme ni shida

Featured Image
236 Comments

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 Comments

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image
236 Comments

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 Comments

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Featured Image
236 Comments

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
238 Comments

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 Comments

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image
236 Comments

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image
236 Comments