Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe
7. subiri asimamishe nikupe
8. hivi nlivyo kaa ntakupaje?
9. Utapewa tulia
10. Nikupe mara ngapi?
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa
Hawa Machizi wamezidi sasa
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa