πππππ
*UCHAWI* ni nini?
`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`
π€£πππππ€£
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Huyu mwanamke kazidi sasa
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo