Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

236 thoughts on “Hii ndiyo bongo sasa!!”

    1. “.yani”.wemjinga”.
      dem.amekuja geto kwako amesukwa ameva amependeza nahaukumpa hata mia alafu we unakalia kusema waao waao waao? naatakuwa wao kwel

      1. TANGAZO TANGAZO
        mimi nilafikiake mwenye sm najua mlimzowea na mlipenda sana
        ABU
        lakini mungu
        kampenda
        zaidi
        AMETANGURIA
        MBERE za
        ::
        AMENDA Aport
        kupanda ndege anaelekea zake amerca kutaza mechi live

        nyooo ukajua amekufa ameenda malekani

      2. yanii! wanaume niwajinga sisi yani unaitwa my unakubali yani may jina lakike
        baby mtoto
        unakubali
        hani unakubali my chokret unakubali
        bado my choko nayo tukubali mpenz wangu mwanzo alikuwa ananita my tumeachana ananita we chokotu nimeonganisha nimepata my choko

    2. :LOVE end x
      1.UPENDO wangu kwako ulikuwa kama bahali sijui umewezaje kukauka
      2.upendo wangu kwako ulikuwa kama chakula sijui taishije bila kula
      3.we ndoulikuwa dereva walangu gari umeondoka tapata ajari
      nikosagani lisilosameheka kwako ingar hata mungu anasamehe….
      haya unaetaka kuludiana na ex wako nicheki nikupe swaga
      0681305278
      utachangia 5000
      ee mana ukosefu waswaga uwo niugonjwa mimi kama daktar siwezi kukutibu bule sawa
      mwanzo mlidanga nyana ety mapenzi yenu nibahari sasa yamekauka sijui nibahari yawapi iyo
      abu by

    3. muziki singer soma mistar hii sikia
      oo baba oo mama simama ngangar dunia yasasa so yazamani usipojibeba unategemea akubebe nani sawa umekosa ajira sasa lawama upeleke kwanani majaribu yamungu hayana mipaka iro tia kichwani binadam mwenzako hawezi pangua alichopanga manani unachofer binadam hauna imani usiposhika lamungu binadam atakupa nini acha tusote tumemsahau mungu jamani duniani tumefata pesa ukijiuliza haiingii kichwani. tumesahau kusudio tumesahau matalajio
      endelea kumtegemea binadam mwenzako havitaisha ivyo vilio fanya kazi apa nimwendo wakujituma umekaa ndan ety ajira hakuna siiunaza hata madazi msikie ety anaguna oya usichague kazi maisha nisafar usikubar kusimama ndoto zitaishia njiani umezaliwa kupambana utapofeli mitihani nani wakumtupia lawama kuwa makini namaisha kwani maisha nidarasa utapoferi mitihani utabaki humwo humwo 0681305278
      sapot jamani kipaji kipo ety

    4. “TANGAZO
      “TANGAZO
      mimi nikiwa kama rais wamyoyo napenda kuwatangazia kuwa kwanzi leo moyo umestafu kazi nanafasi hiyo ataishika figo samahani sana kwausumbufu utakao jitokeza najuwa ningum kumwambia mpenz wako
      figo langu limetokea kukupenda ila mtazea2 moyo umeteseka sana
      kila ki2 moyo
      ila inatosha ninzam yafigo

      1. sikia mashaili aya kipaji kipo muziki
        ilikuwa mida yasasaba mchanaa!! nimejipumnzisha mama akanituma
        niende sokon kununua nyama m
        maisha yanyumbani! nimagu bwanaa mm nilipata mshituko nilivosikia nyama wakati nikoo njiani.. naelekea sokoni nanuka umasikini kwambele nikaona pochi nikatazama huku nahuku. sikuona mtu nikaanza kutembea nikienda mbele ili nikaiyokote nilivo ikagua noti noti ndo zimejamule nikahairisha nyama nikaenda nunua gar michele maunga mambo yote shwari nkapg nguo nzur nayangu miwani nikamwita bodigadi nadereva wagar wafanye kazi yao wanipeleke nyumbani ire kufika nyumbani dereva akapg honi nika shuka kwamaringo huku nikitabasam natembea kama m.bunge nyumangu bodigadi mara nikasikia abu amka ule ire kuche niugari namrenda mrendaa yani kumbe yote ilikuwa NDOTO NDOTOO NDOTO
        daa ira ndoto apa ndo naamka usingizini 0681305278

    5. ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
      kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
      walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
      mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
      akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
      kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
      ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
      0681305278 bres mi

    6. ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
      kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
      walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
      mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
      akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
      kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
      ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
      0681305278 bres mi

    7. ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
      kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
      walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
      mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
      akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
      kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
      ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
      0681305278 bres mi

      1. Mwl kg to
        /”””|”””\
        |||| ||||
        %%%
        sadani
        bn siwe
        ishi
        sadan
        wanamaneno
        ximkubwa
        Walamdogo
        Achainz chalii
        Kama nakudanganya
        Nenda kajenge
        Unahama
        Mwenyew
        Kama
        Limama
        Fulani iv
        Utacheka mwenyew
        BΒ₯!!!!!!!
        Mwl kg to

    8. habari. mTanzania.
      naitwa abu nitajiri. waupendo nimaskini. wachuki.
      uhari gani ndugu
      kwaware wote nirio wakosea napenda kuomba radhi kwamana tunaenda kuuvua mwaka 2025 nakuuvaa mwaka 2026 hivyo yamwaka 2025 yaache nauyavae yamwaka 2026 hivy ndugu kama kunamtu mliwahi kukwazana mtumie ujumbe huu katika safar yamaisha yako jaribu kufanya mabadiliko kwakila hatua unayo jongea mana chuki niadui wamaendeleo utapoleta mambo mabaya yamwaka 2025 kwenyemwaka 2026 itakuwa haina mana yamwaka mpya
      waombe radhi wote wanao kuchukia kwabaraka za mwaka 2026
      nawale uwapendao kama namimi nimo nijibu yes. hapa 0681305278 kira atakae kubariki abarikiwe nakila atakae kuraani nae araniwe
      :
      ujumbe hu nimeuwanika tarehe 6/12/2025 hasante

    9. sikia mistar hii?
      siwanajita bata zari sasa mi nikuku asari ukiona kobe kainama ujue anatunga mistari
      toka kitambo maisha yaleri yani hari sio shwari
      yani mambo nimagum shule bila daftar
      kunawengine wakokaribu sisi bado tukombar
      maisha bwana yanachanganya nibalaa utakuta mtu anahela saf konekshen zake kilasiku yukobaa lakin bado haitosh anamkufuru jaa ety anahari ngum daa
      nahuku anamajumba makar magari yakifahari naanasahu kuwa kunawatu hawalali ndani wanachumia tumbo hawana ata makazi kweli maisha fumbo mungu ampa amtakae labda iwe gwalide tubadilishane zamu mateso tunayopitia watoto wakimasikini hata mtu mzima tajiri hawezi kuhimiri desh. desh. desh….
      onyo usicopy bila ridhaa yangu nicheki 0681305278

    10. jamani wadau naomba mtazamowenu
      ivi nikwani ndo zausiku zinapenda kuishia pazuri utafikiri vipande vyamaigizo yani kama jana nimeota nimemsimamisha mtoto mkali kichizi dem wakishua nikamuomba namba hakuwa m’bishi akanzaa kutaja namba imefika 071568 nikashtuka ndotoni vimenikela sana hata busu sijapiga
      ABU_MAHEMBE_BYMEGUD LIFE

      1. jamaa mm bdo sijamalinza kutongonza dem ananamby nakupenda au anadat na mwing pg 0796209584utacheka zaid bΒ₯Ibraah sadani

          1. NDOTO….
            NDOTOOO…..
            NDOTO….
            Daaaah iy nay
            nazienz nipo from one nilienda afrika masharik
            nipo kwenye kiti kime2jia nikavaanzangu pale mkanda 2kaanza xafali
            nikafika nilikuwa nafanyiwa enter view ya udactar bigwa wa moyo nimemalinza maxomotyangu ukaanzakuxoma mshahala mala
            milion 70nilipofika mwenzi watatu nikashi
            2ka daaah masikini ya mungu nimeishia dalasa la tatu daaah ndoto bwana
            bΒ₯.Ibraah sadani

      2. Utoto bwan
        dg
        dada mamb
        sist
        pw
        dg
        dada mm nimekuelewa
        sist
        ww mm dadaak
        dg
        xaw bx kesho
        sist
        mdogo angu usichukie
        dg
        yaan naona aibu bola ungeniamby nakufikili
        sist
        ww nilafikiangu kpz
        THE
        END
        STORY
        NO.1
        Unajua kisa nn
        mbak dg kumtongo
        nza dadaak dada
        kumwamby
        rafiki angu kpz

        bΒ₯ Ibrah sadani

      1. Jamani ndg watanzamaji na jamm inayoninzunguka naomben ushilikiano wenu ktk kanzikama hinz.mteja wa kwanz 2natoa ofa kabambe text kuma 1,000 tu ya mtanzania.pia kama unademu wak ila mambo mengi nicheck kupitia namb hy 0796209584 nakwamby ukwel utanitfa 2ma2 ujumbe mfupi xem chart kama unataka text za kuchekesha,kutongonza,kumfanya mpz wak acheke na apende kuwa naww na text washikaji kama iv.onyo malufuku kupost text bila kibali cha Ibraah sadani..vigenzo na masharti kunzingatiwa.kwa maelekenzo zaid pg 0796209584 asante

    1. ABU MAHEMBE
      Lizki nilizki tu
      Shehe mmoja alipokuwa anatoka msikitini
      Akaona kitamba kizulii kama kimefungwa nakitu ndani yake akikichukua nakufungua akakuta zahabu.
      Akakikunja vilevile nakukiweka pale pale akaenda kwake nakumuadisia mkewe mkewangu leo wakati napita pale pamoja naile nembo nimeogota zahabu mke akastuka tumekuwa matajili tumekua matajili mmewangu ikowapi mme akajibu sikufanikiwa kuileta mkewangu hawezi juwa inavitu gani mke akalamika akafoka yani a a hatakama ndo shehe unaacha utajir unauwona hapana wemwanaume mume akamjibu kama niliziki itakuja hapahpa ndani mkea analiatu umeacha utajili naizi shidazetu hapana
      Kumbe wakati wanaongea kunawaizi walikuwa banda lakuku wanaiba kuku wakaskia wakatoka mbio kwenda nembo alipofika wakakuta kile kitambaa kukifungua wakakuta mavi wakasema ahaaa yule mpuz alijisemesha vile ili tutoke itakuwa alikuwa ashatuona sasa tunaenda kumtupia maviake palepale kwake wakaenda paka nyuma yanyumba yyule shehe wakapitisha kilivondoka shehe kuangalia nizahabu

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart