Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yale mambo yao ya Sumbawanga, akampachika Rashidi i jinsia ya kike.
Alipofika mahakamani kuhojiwa Rashidi akasema sijampa ujauzito kwa sababu mimi pia nina jinsia ya kike.
Kwa kuthibitisha Rashid wakaenda kumkagua basi akashinda kesi, kufika nyumbani Rashid akawakuta watu wamejaa wanalia, akauliza kulikoni?
Akaambiwa bibi yako amefariki. 😭😭😭😭😭😭😰😰😰😆😆😆😆😆😆
Kwa sasa Rashid anaitwa Leila😀😀😀
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅
Hii imenikuna sana! 😆😅
😄 Kali sana!