Yafuatayo ni maswali yatakayotuongoza kwenye mada yetu Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na damu yake? Yesu alituambia hivi “Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa. 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye yote akiula…
Tag: Katoliki: Mwili na Damu ya Yesu
Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu
Bwana Yesu mwenyewe kwa kutumia kinywa cha Mtakatifu Margareta Maria Alakoki aliahidi Baraka na neema zifuatazo kwa wale wote watakaouheshimu Moyo wake Mtakatifu. Na kwa maneno yake mwenyewe, Bwana Yesu aliahidi: 1. “Nitawajalia neema zote watakazozihitaji katika hali yao ya maisha 2. Nitawajalia amani katika familia zao 3. Nitawafariji katika…
Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ipi? Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika maumbo ya mkate na divai. Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu, tunaalikwa kukaribia mara kwa mara…
Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu
1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni kwa ajili ya uzima wa milele (Mama Thereza wa Calcuta) 2.Maisha ya kiroho ya familia zetu yanaimarishwa kwa njia ya saa ya kuabudu (John Paul II) 3. Saa takatifu ya kuabudu ni ya muhimu sana…
Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu
Ekaristi ni nini? Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na Damu ya Yesu Kristo, katikamaumbo ya mkate na divai. Sakramenti hiiiliwekwa na Yesu Mwenyewe kwenye karamu ya mwisho, siku ya Alhamisi jioni kabla ya matesoyake. (Yoh 6:1-71; Mt 26:26-28). Maana ya jina Ekaristia Tendo la shukrani na baraka.Jina Ekaristi limetokana na neno…
Maswali na Majibu kuhusu Kuabudu kwa Wakatoliki
Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani?
Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema