Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 20, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 11, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024

Marriage are not to be easy

Mwanais (Guest) on May 10, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on February 12, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Umi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shukuru (Guest) on December 27, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Mwangi (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rubea (Guest) on August 27, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023

🀣πŸ”₯😊

Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Neema (Guest) on June 23, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 10, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahma (Guest) on November 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jamal (Guest) on August 24, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nahida (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More