Anakuja Mchina anasema anahitaji Pakaπ,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Pakaπ,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Pakaπ mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Pakaπ, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Pakaπ, saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena pakaπ.
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Pakaππππ wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka πππ wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu
na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja
wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji
hiki.
This is what called business strategy.π
No comments yet. Be the first to share your thoughts!