Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, nikijamiiana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu, nitapata virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Featured Image

Uwezekano wa kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ukijamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu ni mkubwa.
Mpaka leo, kondomu ni njia pekee ya kuzuia kuambukizwaVirusi vya UKIMWI na UKIMWI wakati wa kujamii ana. Kama kondomu i inatumiwa i ipasavyo na kila unapojamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI, uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo sana. Kutumia kondomu ipasavyo i i ina maana kutumia kondomu mpya, kuivaa vizuri uumeni na kuitoa kabla ya uume kulegea.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu... Read More

Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo

Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo

Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali ... Read More
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?

Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?

Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si ... Read More

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kupata mimba. Kama kwa wanaume kuna mambo mengi ... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa ya kujamiiana na ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa ya kujamiiana na ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?

Habari wapendwa wasomaji, leo tutaangazia swali muhimu sana ambalo wapenzi wengi hujiuliza. Je, k... Read More

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Habari za leo wapenzi wangu! Nami nina furaha sana kuwa hapa leo kuongelea kuhusu swala la ngono ... Read More

Je, kuna tofauti kati ya mapenzi na ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti kati ya mapenzi na ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki? Natumaini uko salama na unafurahia siku yako. Leo nitazungumzia suala linaloh... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Karibu vijana wapend... Read More

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi ina... Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?

Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?

Hapana shaka, kufanya mape... Read More

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Hapana. Ualbino ni hali
inayoweza kutokea kwa
wanadamu na wanyama wa
kundi la mama... Read More

Je, sigara ni sumu kwa binadamu?

Je, sigara ni sumu kwa binadamu?

Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango kikubwa cha nikotini katika damu utaj... Read More