Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama?

Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.

MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?

MKE: Akasimama na kusema: Mheshimiwa hakimu hivi ukimwaga mbegu ktk shamba la mtu mti ukiota utakuwa wa kwako au wa mwenye shamba?.

Hebu tumsaidie hakimu aamue kesi hii…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Mboya (Guest) on June 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sharon Kibiru (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on June 4, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 30, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kidata (Guest) on May 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Minja (Guest) on May 17, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 3, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on January 25, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Mwita (Guest) on November 3, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 31, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 20, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanais (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 2, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on June 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on May 24, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Safiya (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on April 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on April 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 15, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on February 5, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on February 1, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Khalifa (Guest) on January 16, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Omari (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on December 10, 2015

🀣πŸ”₯😊

Esther Nyambura (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 26, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on September 9, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on July 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mchome (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mazrui (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joy Wacera (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kijakazi (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Kevin Maina (Guest) on May 6, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More