Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image

Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali balaa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.

Β 

Ebwana si akatoa simu hiyo inauzwa laki sita mimi hapa nina kisimu cha tochi tena nimefunga na rababendi
Je, wewe ungeendelea kumtajia namba zako!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mboje (Guest) on August 13, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 11, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Benjamin Kibicho (Guest) on August 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Issa (Guest) on July 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Kamau (Guest) on June 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on May 27, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on February 10, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on January 17, 2017

🀣πŸ”₯😊

Alice Mwikali (Guest) on December 24, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on December 4, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nchi (Guest) on November 24, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 28, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on July 12, 2016

Asante Ackyshine

Rose Mwinuka (Guest) on June 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hashim (Guest) on May 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Mduma (Guest) on May 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on May 8, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on May 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on April 29, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 29, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Halima (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 11, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

James Malima (Guest) on January 24, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Kangethe (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Shabani (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Raphael Okoth (Guest) on January 6, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Musyoka (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Agnes Sumaye (Guest) on December 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Karani (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on October 25, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on September 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Anyango (Guest) on August 18, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on August 18, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on June 25, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on June 6, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sekela (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 13, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More